Khadija Mwanamboka, alianza na ndoto ya kipekee ya kutaka kuwa tofauti. Tangu akiwa mtoto, alijua hakutaka kuvaa nguo alizonunuliwa dukani, alitaka kubuni mavazi yake mwenyewe. Kila alipoandamana na ...
Fundi mmoja nchini Kenya ameamua kushona suti za mitindo ya kipekee ambazo zimewavutia wengi. Abich Cancious ameamua kuwa nguo anazoshona hasa suruali zinavaliwa kifuani na sio kiunoni. Paula Odek ...